Ads 468x60px

Friday, April 5, 2013

PROFJIIZE CLASSIC BARBER SHOP YADONDOKEA MSASANI MWISHO




 Hivi karibuni tumeshuhudia wasanii wetu wengi wakijaribu kutanua mabawa yao kwa kuanzisha hiki na kile katika upande wa biashara na kuleta maendelea katika jamii yetu, tuna mfano wa IZZO B na biashara zake jijini Mbeya, JAFFARAI na car wash jijini Dar na wengine kibao, leo hii list yetu imezidi kuongezeka baada ya legendary The Heavy Weight MC, Prof Jay ambae ameweka wazi kumiliki Barber shop.
 

"kikubwa nilikua naagali kitu ambacho kinaweza kikwa pamoja na talenti yangu  ilivyo na kipaji na kazi yangu nnayoifanya kila siku. kwahiyo nikiwa na barber shop hata usafi wako mwenyewe, kwasababu sisi wanamziki tunahitaji kuwa wasafi all the time, all day every day, umeelewa, so nikaona ni nifasi ambayo ninweza nikaifanya mimi pamoja na artist wenzangu pamoja na celebrity wengine nasio barber shop tu bali ni classicbarber shop na  ndio maana tukaiita PROFJIZE CLASSIC BARBER SHOP, location ni nzuri, barber shop iko maeneo ya Msasani mwisho, sehem ambayo inaweza ikamaintain celebrity na watu wengine wakubwa katika nchini lakini pia na watu wakawaida ambao wanaweza waka afford gharama za hapa" amesema J

JAY Z BEYONCE NDANI YA CUBA KUSHEREHEKEA ANIVERSARY YAO

Jay-Z na Beyonce wameamua kudondoka Cuba kusherehekea miaka yao 5 tangu walipofunga ndoa yao.
katika kusherehekea miaka hiyo 5 inasemekana Jay na Bey wamesafiri na familia yao wiki hii kuelekea Havana kwenye sherehe hiyo muhim

Rap-up.com wameripoti kuwa wawili hao wameungana na mama zao wote wawili
 (Tina Knowles and Gloria Carter) kwenye safari hiyo na kutembelea sehem mbali mbali katika mji huo wa kihistoria ikiwa  ni pamoja na Colonial Old Havana


 Beyonce na Jay-Z walioana kisiri siri april 4 2008, kwenye sherehe zilizofanyika kwenye apartment ya Jay Z iliyoki New York, wageni waalikwa wakiwemo Chris Martin, Kelly Rowland, Gwyneth Paltrow, na Michelle Williams.

BUKOBA; DIAMOND APOKELEWA KAMA MFALME

Kwanz kabisa ningependa kutanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
 kwa Mwenyezi Mungu kwa siku ya Jana....Tarehe 30 march
niliwasili salama salimini mjini bukoba Mkoani Kagera....Pili
niwashukuru Mashabiki zangu wote Mkoani Humu kwa kunipokea
kwa hali na mali ,Hii inaonyesha jinsi gani watanzania wanathamini
na wana mapenzi na wasanii wao.....!!
Nililazimika kutoka Juu ya Gari kuwasalimu
 kabla sijaelekea hotelini....
Nilivotokeza hali ilizidi kuwa mbaya zaidi....Polisi walilazimika
kufunga barabara
kadhaa mjini bukoba na hata kazi zingine kusimama kwa muda
kutokana na watu
kuzingira Gari nilokuwepo kila kona
nilipokuwa pita.....

Zifuatazo ni Picha Jinsi wananchi walivyojitokeza kunilaki kama
mfalme mjini Bukoba....!!
kanga moja pia walikuwa ndani...
haatariiii














waacheni watoto waje kwangu..













DIAMOND PLATNUMZ NA KANGA MOKO WAWEKA HISTORIA BUKOKA (BKB)

Diamond alizungumza haya...Napenda kuchukua Nafasi Hii Kumshukuru mungu kwa
 uzima na afya tele aliyonijalia.....
Mpaka kuwasili salama bukoba tarehe 30 march mwaka huu
.....Pia napenda kuwashukuru mashabiki
wote wa mjini bukoba waliojitokeza kwa wengi katika 
usiku wa wasafi mjini bukoba..
Mashabiki walifurika kufikia kunifanya mimi kuwa na 
furaha na faraja kubwa wakati nipo
stejini....na kuzidi kufanya manjonjo mengi na ujuzi
mwingi nikiwa stejini kama kawaida yangu...

Nilikinukisha vilivyo kama kawaida yangu...Nikiwa
 na Silaha zangu za maangamizi
Jeshi la wasafi kwenye Steji....na Kuweka Historia 
Mpya ndani ya Bukoba kuwa 
mwanamuziki wa kwanza kupiga show mwenyewe na
 kujaza watu zaidi ya 3,000 hadi 
 kufikia Uongozi kusitisha kuuza Ticket kutokana na
 Jeshi la Polisi kutoa 
taharifa ingweza kutokea mahafa kama ilivyotokea
 kabla ya Mimi kupanda
Jukwani.....

Zifuatazo ni Picha za Show Ndani ya Bukoba....!!





Taratibu....Mdogo mdogo kusongesha mzigo...!!











Love ilitawala kwa mashabiki kufikia mimi kuvutwa chini na mashabiki 
ukumbini humo...!! kweli mashabiki wa BUKOBA walikuwa na mizuka...!!






Mikono Juu......wotee wotee....!!
Mizuka ishapanda sasa....Ni kukinukisha mpera mpera 
mwanzo mwisho...!!

Camera Man na mashabiki awakuwa nyuma kupiga picha za 
ukumbusho mahana
historia mpya iliwekwa ndani ya jiji la wahaya.....!!





kwenye show viuno mbele mbele...... aghaaa mule mule...!!



Mambo ya kanga moja laki si pesa.....walikuwemo pia....!!

KITU ndembe ndembe...kanga mpya ailoi maji......
!! kit6u ndembe ndembe....!!

kitu mwake waacha weeee....agha ghaaaaaaaa .......laki si pesa
milioni pocketman...!!

 

Facebook and Twitter

Promo Sites