Ads 468x60px

Saturday, December 21, 2013

#FUNUNU - YOUNG DEE

Ni wimbo mpya wa Young Dee unaofahamika kwa jina la 'Fununu' akiwa
amewashirikisha wasanii wawili ambao ni Mwana FA & Ben Pol




<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=tdouwrkt80lc" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>




KIDOTI FASHION CLUB

Baada ya kutamba na mitindo ya nywele na nguo aina ya Kidoti
brand, msichana mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate
Mwegelo aimeanzisha klabu yake ijulikanayo kwa jina la Kidoti
Club.
Akizungumza katika uzinduzi wa klabu hiyo jana, Jokate alisema
kuwa Kidoti Club ni tofauti na vilabu vingine kwani katika ujio
wake huo mpya, atakuwa anajihusisha na mambo mbali mbali
katika jamii husani masuala ya urembo na mitindo. Jokate pia
alizindua aina mpya ya nywele zake za kisasa katika mtindo wa
kidoti Brand.
Jokate alisema kuwa kupitia klabu yake atakuwa anatoa ushauri
mbali mbali katika jamii na ikiwa pamoja na taarifa za muziki,
filamu, wasanii mbalimbali na nyinginezo kwa ajili ya rika
tofauti. Alisema kuwa lengo lake kubwa ni kupanua mtandao
wake kwa jamii na anaamini watu wengi watajiunga naye.
Kwa mujibu wa Jokate ambaye ni Miss Tanzania namba mbili
mwaka 2006, ili uwe mwanachama wa klabu hiyo, unatakiwa
kutuma neno kidoti kwenda namba 15678 na kuanza kupata
taarifa mbalimbali kutoka kwake katika kampeni hiyo ijulikanayo
kwa jina la Kidoti Ng’aring’ari.
“Huu ni mfumo wa kisasa katika kutoa taarifa mbali mbali kwa
jamii,Beyonce amefanya hivyo na kwa sasa hakuna mtu
anayeingia katika shoo zake bila kuwa mwanachama wa klabu
yake, mimi pia naelekea huko kwani nitaweka taarifa zangu
mbali mbali na ili kupata lazima uwe mwanachama,” alisema
Jokate ambaye pia ni mtangazaji na mbunifu wa mavazi.
Alisema kuwa pia ataendesha mashindano mbalimbali kwa
wanachama wake na kutoa zawadi kwa washindi.
“Kama unavyojua, lengo langu kubwa ni kutumia ujuzi na kipaji
chake kwa watanzania wote, nataka wafaidike na vipaji vyangu
name kusimama mwenyewe katika maisha bila ya kumtegemea
mtu yoyote, natoa wito kwa vijana wenzangu kuwa wabunifu
katika kukabiliana na masuala mbali mbali ya maisha,” alisema.

Best of 2013: Biggest Celeb Weddings of the Year


Love was in the air in 2013!
We heard wedding bells ringing throughout the year as many a celeb tied the knot
to that special someone.
But just as every romance is unique, so too is every twosome's wedding day.
And while some famous couples made the most of their whopping budgets,
others opted for low-key yet lovely nuptials.
Take Aaron Paul and his gorgeous bride Lauren Parsekian who said "I do" with
an elaborate carnival-themed Malibu affair that included a performance by John
Mayer and indie band Foster the People!
Kelly Clarkson and now hubby Brandon Blackstock, on the other hand, skipped a
big bash in favor of an intimate affair that took place at a picturesque farm in
Walland, Tenn.
"It's just gonna be literally, seriously small," the singer told E! News prior to
saying "I do."
But perhaps no celebrity wedding was quite as laidback as Keira Knightley and
James Righton's casual ceremony.
 The bride wore a recycled dress paired with no-nonsense flats, and the couple
exchanged vows among 10 guests at a town hall in the South of France.
























Friday, December 20, 2013

Diddy poses for Christmas card with his six children, shares image with fans

The 44-year-old rapper gathered up his offspring to take a photo for a very
stylish holiday card.

Diddy posed with his six children for his 2013 Christmas card seen here as
posted on Twitter. 'Christmas card. Happy Holidays from the Combs Family!'
Have yourself a Merry Diddy Christmas!
Sean "Diddy" Combs, who is a proud papa to six children, gathered up his gang
to pose for a festive and fancy Christmas card.

TOKELEZEAMO NA 255PROMO CAM : COLLAGE SPECIAL

Picha tofauti tofauti za watoto wa T.I.A -Singida Campus

Dimpoz, Baja, Cardo na Tyga
Baja na Tyga
Nyaki Bwoyz::: Tyga na Cardoxon
Kendrick
Nizzor na Kendrick
Nyaki Bwoys
Kendrick

Helen, Tyga na Cardo
Tyga

Beach Tym
Kendrick
Like Son like Dad
Son n Son
Sure boy, Fabby na George Pojii
Pancho

Thursday, December 19, 2013

HOME SWEET HOME - IZZO BUSINESS

Tarehe 31 December 2013 mtu mzima Izzo B -Izzo Bizness atakua jijini Mbeya katika mkesha wa mwaka mpya utakao  fanyika Babz Club kwa entrace ya 7,000 tu! Greeeen City are you ready?
Hii si ya kukosa

JAGUAR FINALLY GOT HIS NEW BRAND LUXURY CAR IN KENYA

Jaquar is one of Kenya’s highest earning musicians and with good reason. The lad has been releasing hit after hit and he has honestly displayed lasting power. So it comes as no surprise that when he wants to treat himself, he spends sufficiently to by a state of the art luxury vehicle and as I told you earlier in the year, he settled for a Jaguar XJ

Jaguar
Mfano wa his new ride
Jaguar`s new Ride

NEW BABKUBWA MAG ISSUE

Toleo kipya la babkubwa magazine soon litakua mtaanni. Get ready kulisoma maana sio la kukosa!

 

Facebook and Twitter

Promo Sites