Ads 468x60px

Wednesday, December 25, 2013

GUPSY`s DELIGHT NOW OPEN IN LAGOS

Aliyekua mwakilishi wa shindano Big Brother Africa msimu wa 4 (Revolution) Elizabhet Gupta ma mumewe  Kevin Chuwang Pam (mshindi wa BBA4) wamefungua mgahawa wao nchini Nigeria.

Mgahawa uitwao Gupys Delight upo jijini Lagos nchini Nigeria ambako ni makazi ya wanando Liz na Pam. Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram Liz ameonesha picha za mgahawa huo.


Mwonekano wa mgahawa huo kwa ndani!



Kwa sasa mastaa hao wana familia ya watoto wawili.
All the best Liz and Pam

Tuesday, December 24, 2013

NILIPATA UJAUZITO NIKIWA NA UMRI MDOGO SANA - MADAMNRITA


Kuelekea mwishoni mwa mwaka huwa kila mtu ana utaratibu wake wa kumaliza mwaka.Hivi ndivyo Madam Rita kutoka kampuni ya Benchmark Production ameamua kuufunga mwaka huu.


Madam Rita kupitia akaunti yake ya Facebook amekuwa akitoa stori mbalimbali zinazomuhusu juu ya mambo mengi ambayo yamewahi kumtokea/ kumpata kipindi cha nyuma au katika maisha yake kiujumla.
Moja ya vitu hivyo ni suala ya yeye kupata mimba katika umri mdogo ambalo ameamua kuliweka wazi kwenye ukurasa wake wa FB kama hivi…

Huu ndio ujumbe wake alioupost ' 

Jambo mmoja msilofahamu kuhusu mimi.... 
Nilipata ujauzito nikiwa na umri mdogo sana. Kwa jamii yetu inayotuzunguka, ukizaa katika umri mdogo, watu huwa wanakunyanyapaa, hukuona haufai kuwa katika jamii na hata kukuhukumu. Kwa umri ule niliona ni kama hamna tena maisha kwangu lakini sikukata tamaa na leo hii ujasiri wangu na kitu kinachonipa msukumo wa maisha hadi kufika hapa nilipo ni hicho kilichonikuta nikiwa na umri mdogo.
"Kukataa tamaa isiwe ndio chaguo lako la kwanza'Aliandika Madam Rita.

Saturday, December 21, 2013

#FUNUNU - YOUNG DEE

Ni wimbo mpya wa Young Dee unaofahamika kwa jina la 'Fununu' akiwa
amewashirikisha wasanii wawili ambao ni Mwana FA & Ben Pol




<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=tdouwrkt80lc" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>




KIDOTI FASHION CLUB

Baada ya kutamba na mitindo ya nywele na nguo aina ya Kidoti
brand, msichana mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate
Mwegelo aimeanzisha klabu yake ijulikanayo kwa jina la Kidoti
Club.
Akizungumza katika uzinduzi wa klabu hiyo jana, Jokate alisema
kuwa Kidoti Club ni tofauti na vilabu vingine kwani katika ujio
wake huo mpya, atakuwa anajihusisha na mambo mbali mbali
katika jamii husani masuala ya urembo na mitindo. Jokate pia
alizindua aina mpya ya nywele zake za kisasa katika mtindo wa
kidoti Brand.
Jokate alisema kuwa kupitia klabu yake atakuwa anatoa ushauri
mbali mbali katika jamii na ikiwa pamoja na taarifa za muziki,
filamu, wasanii mbalimbali na nyinginezo kwa ajili ya rika
tofauti. Alisema kuwa lengo lake kubwa ni kupanua mtandao
wake kwa jamii na anaamini watu wengi watajiunga naye.
Kwa mujibu wa Jokate ambaye ni Miss Tanzania namba mbili
mwaka 2006, ili uwe mwanachama wa klabu hiyo, unatakiwa
kutuma neno kidoti kwenda namba 15678 na kuanza kupata
taarifa mbalimbali kutoka kwake katika kampeni hiyo ijulikanayo
kwa jina la Kidoti Ng’aring’ari.
“Huu ni mfumo wa kisasa katika kutoa taarifa mbali mbali kwa
jamii,Beyonce amefanya hivyo na kwa sasa hakuna mtu
anayeingia katika shoo zake bila kuwa mwanachama wa klabu
yake, mimi pia naelekea huko kwani nitaweka taarifa zangu
mbali mbali na ili kupata lazima uwe mwanachama,” alisema
Jokate ambaye pia ni mtangazaji na mbunifu wa mavazi.
Alisema kuwa pia ataendesha mashindano mbalimbali kwa
wanachama wake na kutoa zawadi kwa washindi.
“Kama unavyojua, lengo langu kubwa ni kutumia ujuzi na kipaji
chake kwa watanzania wote, nataka wafaidike na vipaji vyangu
name kusimama mwenyewe katika maisha bila ya kumtegemea
mtu yoyote, natoa wito kwa vijana wenzangu kuwa wabunifu
katika kukabiliana na masuala mbali mbali ya maisha,” alisema.

Best of 2013: Biggest Celeb Weddings of the Year


Love was in the air in 2013!
We heard wedding bells ringing throughout the year as many a celeb tied the knot
to that special someone.
But just as every romance is unique, so too is every twosome's wedding day.
And while some famous couples made the most of their whopping budgets,
others opted for low-key yet lovely nuptials.
Take Aaron Paul and his gorgeous bride Lauren Parsekian who said "I do" with
an elaborate carnival-themed Malibu affair that included a performance by John
Mayer and indie band Foster the People!
Kelly Clarkson and now hubby Brandon Blackstock, on the other hand, skipped a
big bash in favor of an intimate affair that took place at a picturesque farm in
Walland, Tenn.
"It's just gonna be literally, seriously small," the singer told E! News prior to
saying "I do."
But perhaps no celebrity wedding was quite as laidback as Keira Knightley and
James Righton's casual ceremony.
 The bride wore a recycled dress paired with no-nonsense flats, and the couple
exchanged vows among 10 guests at a town hall in the South of France.
























Friday, December 20, 2013

Diddy poses for Christmas card with his six children, shares image with fans

The 44-year-old rapper gathered up his offspring to take a photo for a very
stylish holiday card.

Diddy posed with his six children for his 2013 Christmas card seen here as
posted on Twitter. 'Christmas card. Happy Holidays from the Combs Family!'
Have yourself a Merry Diddy Christmas!
Sean "Diddy" Combs, who is a proud papa to six children, gathered up his gang
to pose for a festive and fancy Christmas card.

TOKELEZEAMO NA 255PROMO CAM : COLLAGE SPECIAL

Picha tofauti tofauti za watoto wa T.I.A -Singida Campus

Dimpoz, Baja, Cardo na Tyga
Baja na Tyga
Nyaki Bwoyz::: Tyga na Cardoxon
Kendrick
Nizzor na Kendrick
Nyaki Bwoys
Kendrick

Helen, Tyga na Cardo
Tyga

Beach Tym
Kendrick
Like Son like Dad
Son n Son
Sure boy, Fabby na George Pojii
Pancho

Thursday, December 19, 2013

HOME SWEET HOME - IZZO BUSINESS

Tarehe 31 December 2013 mtu mzima Izzo B -Izzo Bizness atakua jijini Mbeya katika mkesha wa mwaka mpya utakao  fanyika Babz Club kwa entrace ya 7,000 tu! Greeeen City are you ready?
Hii si ya kukosa

JAGUAR FINALLY GOT HIS NEW BRAND LUXURY CAR IN KENYA

Jaquar is one of Kenya’s highest earning musicians and with good reason. The lad has been releasing hit after hit and he has honestly displayed lasting power. So it comes as no surprise that when he wants to treat himself, he spends sufficiently to by a state of the art luxury vehicle and as I told you earlier in the year, he settled for a Jaguar XJ

Jaguar
Mfano wa his new ride
Jaguar`s new Ride

NEW BABKUBWA MAG ISSUE

Toleo kipya la babkubwa magazine soon litakua mtaanni. Get ready kulisoma maana sio la kukosa!

Friday, May 10, 2013

TOP 10: BEST MOVIES (OFF ALL-TIME)

The best movies evoke tears, laughter, terror, reminiscence, and/or mystery in a truly personal way. Anything less (AKA, around 98% of all movies) serves no purpose other than to shove mindless, forgettable fodder in our face and line Hollywood’s pockets (Be afraid Michael Bay, be VERY afraid). This is that other, sacred 2%—the Holy Grail of cinema.

10. Once Upon a Time in the West (1969)

Once Upon a Time in the West (1969)
Logline: A southern belle, Mrs. McBain, moves to the far West Frontier to join her family. Upon arrival, though, she finds discovers all were ruthlessly murdered; she has to rely on perfect strangers (outlaws and nomads) to protect her and find her family’s killer.

Memorable Moments: Frank (a ruthless outlaw) sexually harasses Jill (Claudia Cardinale). He tells her that she can’t even the resist the advances (having been informed that she was previously a hooker in New Orleans) of the very man who murdered her husband.
Why People Love It: Once Upon a Time isn’t just your de facto Western flick: Rather, a Western thoroughly blended with metaphor, style, and—perhaps—poetic justice that could be easily deemed A Hot Mess. 

Best Quote: Frank (Henry Fonda): “How can you trust a man who wears both a belt and suspenders? The man can’t even trust his own pants”

9. Goodfellas (1990)

Goodfellas (1990)
Logline: Henry Hill (Ray Liotta) enters the Italian mob and, as he grows older, rises through the ranks with Jimmy Conway (Robert De Niro) and Tommy De Vito (Joe Pesci) until one day, the whole criminal enterprise (as well as Henry’s life) starts to crumble.

Memorable Moments: With Henry Hill narrating, the corpses of several mafia figures (mostly linked to the Lufthansa heist) are paraded in a musical montage. 
Why People Love It: An epic film, especially among mob-movie fanatics, that digs deep into the rise and fall of gangster Henry Hill, Goodfellas is the quintessential mafia movie that makes absolutely no excuses for itself and glorifies nothing about the seedy, brutal underworld of the Italian mob.
Best Quote: Jimmy Conway (De Niro): “I’m not mad, I’m proud of you. You took your first pinch like a man and you learn two great things in your life. Look at me, never rat on your friends and always keep your mouth shut.”

8. The Godfather: Part II (1974)

The Godfather: Part II (1974)
Logline: A sort of “prequel and sequel” hybrid, The Godfather II chronicles Vito’s early life in the fledgling 20th-century, as well as his son Michael’s (Al Pacino) assumption of power and attempts at expanding the family enterprise in the 50′s.

Memorable Moments: At the club, Michael grabs Fredo, “kisses” him and spills the beans: “I knew it was you, Fredo…you broke my heart…..you broke my heart!” Some time later, Fredo is faithfully executed by an assassin, hired by Michael. 
Why People Love It: Very few sequels enjoy the luxury of being deemed just as good as the first. The Godfather II is almost universally considered one of those.

Best Quote: Michael Corleone (Al Pacino): “Keep your friends close, but keep your enemies closer.”

7. Seven Samurai (1954)

Seven Samurai (1954)
Logline: When a poor farming community is terrorized by bandits, seven former samurai take up arms to defend it. In exchange for defending it and teaching the locals self defense, the village people feed the samurai. 

Memorable Moments: Rice, which a farmer had harvested for the samurai, was stolen from under the farmer responsible for it; sobbing as he picks up leftover grains, Kikuchiyo (Toshiro Mifune) throws him money to purchase more.
Why People Love It: You don’t even need an interest in martial arts to appreciate this masterpiece. Seven Samurai is laden with phenomenal action sequences, unforgettable characters, and a timeless story.

Best Quote: Kanbe Shimada (Takashi Shimura): “Danger always strikes when everything seems fine.”

6. Inception (2010)

Inception (2010)
Logline: Cobb (Leo Dicaprio) is one of the most specialized thieves in the world; that is, he enters others’ minds through their subconscious (dreams) and sells their secrets to the highest bidder. But soon, Cobb and his team must carry out one of the most unfathomable missions ever, Inception.

Memorable Moments: From the scene pictured above, Arthur (Joseph Gordon-Levitt) fights others in a gravity-defying, spinning hallway—’falling’ to the ceiling, walking on walls, and kicking a** mid-air.
Why People Love It:  Inception’s premise—intruding into the unconscious mind, which seemingly allows all rules of reality and logic to disappear—is refreshingly original and its plot, nothing short of brilliant.

Best Quote: Yusuf (Dileep Rao): “That many dreams within dreams is too unstable!”

5. The Dark Knight (2008)

The Dark Knight (2008)
Logline: Batman (Christian Bale) collaborates with Harvey Dent  and Lieutenant Gordan to rid Gotham’s streets of organized crime. While initially successful, the trio must now face their most formidable opponent yet: The Joker (Heath Ledger) and minions.

Memorable Moments: Either the phenomenal explosion scene (where The Joker merrily skips off), the jailhouse interrogation scene, or the hospital scene when he visits the horribly-burned Harvey Dent, who subsequently becomes Two-Face.
Why People Love It: The lion’s share of Batman enthusiasts agree that The Dark Knight is the best Batman film to-date (and probably ever), thanks in large to an unquestionably great performance by the late (RIP) Heath Ledger.

Best Quote: Harvey Dent (Aaron Eckhart): “The night is darkest just before the dawn. And I promise you, the dawn is coming.” |Or| The Joker: “Why so serious?”

4. The Good, the Bad and the Ugly (1966)

The Good, the Bad and the Ugly (1966)
Logline: Three men—Blondie/’The Good’ (Clint Eastwood), Tuco/’The Ugly’, and Angel Eyes/’The Bad’—learn of a mysterious grave, rumored to be full of gold, in a remote cemetery. It soon becomes apparent, though, that it will be every man for himself in the quest to find this grave.

Memorable Moments: Near the end when Blondie, Tuco, and Angel Eyes find themselves in a three-way duel, and Tuco realizes that Blondie had secretly unloaded his revolver the prior night.
Why People Love It: Maybe it’s one of the most memorable Western titles ever, or the utter irony of the title itself? Or perhaps because it stars gun-slingin’ Clint Eastwood in one of his best roles ever?

Best Quote: Blondie: “You see, in this world there’s two kinds of people, my friend: Those with loaded guns and those who dig. You dig.”

3. Schindler’s List (1993)

Schindler's List (1993)
Logline: Nazi-occupied Poland: Businessman Oskar Schindler wasn’t initially the loving, humanitarian-type—instead, a savvy profiteer. But witnessing the systematic brutalization of fellow Jews, Schindler (perhaps the most unlikely candidate for ‘hero’) opens his heart and factory to provide over a thousand Jews refuge from Nazis. 
Memorable Moments: Amon Goeth (Ralph Fiennes)—a merciless, wicked Nazi commandant—”falls for” his Jewish maid. After almost raping her, he realizes that even kissing her would be high treason, Goeth delivers a savage beating to her for “seducing” him. 

Why People Love It: Schindler’s List symbolizes the love and humanity that each and every one of us is capable of having, despite all of our (possibly) innate/instinctual tendencies toward self-interest, greed, and even having the capacity for murder.

Best Quote: Itzhak Stern (Ben Kingsley): “It’s Hebrew, it’s from the Talmud. It says, Whoever saves one life, saves the world entire.”

2. The Shawshank Redemption (1994)

The Shawshank Redemption (1994)
Logline: The Shawshank Redemption, possibly the greatest movie of both Freeman’s (“Red”) and Robbin’s (Andy) careers (make that one of the best movies overall, ever), is an epic tale of two gentlemanly, intellectual prisoners who show remarkable courage and sustain hope against almost all odds of ever getting out of the joint for their old crimes. 
Memorable Moments: The epic scene where a just-released, elderly man (James Whitmore)—isolated in his humble New York apartment and missing his ‘home’ in prison (basically, the only life he’d known for decades) —kicks the chair from underneath his feet and hangs himself.
Why People Love It: Directed by Frank Darabont/written by Stephen King, it symbolizes our struggle between the demons that imprison us (quite literally here) and the hope for better-days-to-come—which is all we really have to cling to in the end.
Best Quote: Andy Dufresne (Robbins): “Get busy living, or get busy dying”

1. The Godfather (1972)

The Godfather (1972)
Logline: Vito Corleone, Don of the Corleone crime empire, assumed the helm of the fledgling family ‘business’ in the 1920′s and for almost forty years, built it into a dynasty of wiseguys and ruthless henchmen that would make Al Capone’s gang look like clergymen. Decades later, though, he must pass the reigns of his empire to a reluctant Son, Michael Corleone. 
Memorable Moments: One of the biggest turning points is when Michael Corleone, whose hands are free of anyone’s blood, murders the corrupt policeman (McCluskey) and wiseguy Sollozzo from a rival family.

Why People Love It: People and critics generally swear by Godfather franchise whenever one of these lists pops up. Plus, how can you dismiss a flick that’s received Oscar after Oscar after Oscar? Performances are second to none (ever), the riveting score is perfect in all senses, there’s nearly flawless editing, and the scenery is fantasticly well-suited.
Best Quote:Vito Corleone (Brando): “I’ll make him an offer he can’t refuse.”

Sunday, April 21, 2013

TANGAZO KUTOKA KWA DIAMOND JUU YA WATU WANAOTUMIA SOCIAL NETWORK KUFANYA UTAPELI KUPITIA JINA LAKE


Napenda kuwataharifu fans wangu kuwa...kuna tabia imekuwa
 ikijotekeza kwenye social networks.
Tabia hiyo imekuwa ya kitapeli ya kufungua account
mbalimbali kupitia social networks
na kuanza kutuma massage za ajabu.....jambo ambalo
mimi binafsi sipendezwi nalo.....
nimelivumilia lakini nikaona isiwe vibaya nikiwajuza tena
 kuwa mkipata ujumbe wowote
kupitia social network kupitia jina langu kuomba
 msaada mtambue kabisa
si kweli......Jambo lolote kuhusiana na mimi binafsi utapata
 updates zangu kupitia
Account yangu ya facebook by Diamond platnumz ambayo ipo
 connected na tweeter
&Instangram pekee......lakini vinginevyo
sintousika na tuhuma zozote.....

Binafsi nimeshangzwa na ujumbe huu wa mtu ambae anatumia account facebook kwa jina
la Diamond platnum,kwa kuwasambazia ujumbe ufuatao:
KARIBU KTK PARTY YA KIMYA KIMYA YA KUMSHUKURU MAMA YANGU MPENDWA MAMA NASEEB.
KADI YA MWALIKO INAPATIKANA ATRIUM HOTEL BAADA YA KUTOA MCHANGO WAKO
ITAFANYIKA KTK MJENGO WANGU MPYA WA KISASA ULIOPO TEGETA NEXT WEEK.
THIS PARTY IS 4 ONLY INVITED PEOPLE..COZ IS SUPRIZING CELEBRATION PARTY
KADI ZINATOLEWA KUANZIA SAA 10JIONI HADI SAA3 USIKU MARA BAADA YA KUPOKELEWA MCHANGO WAKO.
MCHANGO NI KIASI CHOCHOTE NA UTUMWE KTK NAMBA YANGU YA TIGO.
KARIBU..
078889889 hy ndo namba yake
NB: MARA UTUMAPO MCHANGO WAKO UTAPOKEA SMS YENYE NENO LA SIRI AMBALO UNATAKIWA KUFIKA NALO KWA MUHUSIKA NA KULITAJA.
NIMEWEKA MCHANGO KUPUNGUZA IDADI YA WATU...
Niliuzunika sana kwa mambo kama haya bado kuendelea kufanyika kwenye social networks......
ni hayo tu my truly fans wa Diamond i hope mmeninyaka wote....... PEACE & LOV

Tuesday, April 16, 2013

DIAMOND AMTOLEA NJE WEMA NA KUMPAMBANISHA NA PENNY AMRIKODI NA KUSAMBAZA CLIP



 Clip iliyosambaa inayomuhusisha Wema Diamond na Penny imefika ndani ya blog yako, clip ambayo inaonekana kurecodiwa kwa maksudi na Diamond pale alipopigiwa simu na Wema Sepetu jana usiku. Inasemekana Wema alimpigia simu Diamond usiku,lakini baada ya Diamond kupokea alimtaka kuacha drama na kumsisitizia kuwa sasa hivi anampenda Penny.
maongezi yako hivi 
Diamond: mi sikufanyii drama na wala sitaki drama yoyote, am inlove with penny we unajua hilo right?
Wema: yeah your inlove with penny and i i ... 
Diamond: sipendi kwasababu sipendezewi kwasababu mwisho wa siku itakuja kutuletea matatizo drama, nakujua kitu kidogo hukawi kukifanya kikubwa mji mzima na nini na nini sitaki.
Penny: hallo, which one is this? hallo hallo 
Wema: mmmh
Penny: hallo
Wema: mh 
Penny: we want to sleep mamy
Wema: heey my angle poa
Penny: baby wacha tulale ya?
Wema: mmh
Penny: wacha sisi tulale 
Wema: uko poa
Penny: niko poa mamy yangu, can you let us sleep now mmh, si hatutaki matatizo na wewe we usitake matatizo na sisi, lets just live one happy life
Wema: he told you am the one who is troubling him 
Penny: yeah but you are always trying to cause trouble wema, your always trying to cause trouble, when did you want something peaceful,when? i mean when he said look here, when he said, he is in love with me, i dont know, for some reasons i expected you to respect that, because all you have done is to bring us trouble, seriously, and all this things you do, they tell us kwamba wewe ndio unafanya, so lets just see......you sleep, us guys sleep, and act like this comversation never even happened, good night, good night, wema , wema (kimya)
Diamond: nadhani dishi wenyewe mmelisikia, haina haja ya kuongea sana, mmewasikiliza, tulikuwa niko mimi halima kimwana, na mke wangu hapa, mimi ndio nimepigiwa simu na wema nabembelezwa, bahati mbaya kakuta nambaya, pia nikampa baby aongee nae, kumjulisha jinsi gani niko inlove, asanteni sana nilikua narecord mi mwandishi wako Nasib Abdul Juma, nashkuru sana  sana!!!

MADEE KUTOA VERSION MBILI ZA "POMBE YANGU" NA DVD KWA MASHABIKI SIKU YA UZINDUZI



Mwezi huu wa nne ndio mwezi ambao madee amepata mafanikio kwa mara nyingine tena, baada ya kuachia ngoma inayofanya vizuri sana kwenye chati mbali mbali na kwenye maskio na midomo ya watu wengi, hata kufikia kuingia katika nafasi ya kwanza kwenye best chat show bongo "top 20" ya Clouds Fm. Lakini pia ni mwezi ambao amezaliwa yeye, na kufikisha miaka yake kadhaa siku ya tarehe 23, na tarehe 21 anatarajia kufanya uzinduzi wa video ya wimbo wake "pombe yangu" ndani ya maisha club, akizungumza na blog hii, Madee amesema, anatarajia kuachia video mbili za wimbo huo, moja ikiwa ni ya kiasili na nyingine ya kimjini mjini. Licha ya kuachia video hizo, Madee pia atatoa dvd kwa mashabiki kwenda kuzitazama ka muda wao kutokana na kuelewa matatizo yanayotokana na kuhamia kwenye digitali. kwenye show ya uzinduzi huo, atakuwepo pia , Bibi cheka, Diamond pamoja na Tunda man.

DOWNLOAD 'MAPENZI BASI' YA DIAMOND

DOWNLOAD SEMBULE YA MATONYA



Monday, April 8, 2013

:THE VIBE RUNWAY: HAPPENING SOON





 
VIBE RUNWAY is a fashion show and music show, featuring music and
designers showcasing top designs.

VIBE RUNWAY, pairs some of music's hottest acts with a parade of beautiful models and puts them all on the same runway.

Infusing unprecedented fashion and
musics brightest entertainers to provide an extraordinary fashion
experience on one runway.


On saturday , May 25, 2013 in Dar es salaam City the runway will vibrate by
music and fashions hottest, for a night of showcasing top designs in street
wear, swimwear and high fashion couture.



Who will dominate this year's Vibe Runway...


::The LineUp::

HOST:
KOHNTAR H. PERRY

PERFORMERS:
1. G1
2. JC
3. MELISA JOHN
4. MAKJAMS
5. KING KAPITA

OFFICIAL DJ: DJ 4U

PRESENTERS:
1. JACKLINE WOLPER
2. TONY ALBERT
3. ALMAH BRONXI
4. ABBY PLAATJES
5. MIKEY WILKINS
6. ALLY REHMTULLAH

DESIGNERS:
1. FROM KENYA, MOHAMED BANA
2. FROM ZAMBIA,ESTELLE MANTEL
3. ASIA IDAROUS KHAMSIN
4. B DESIGNES
5. VS:VERNIC
6. KEMI KALIKAWE

Belle9 - Listen

KALI KULIKO TOKA KWA JUX VUITTON

RAY J KAMWANDIKIA NYIMBO MWANADAFADA KIM Kardashian "I hit it First''

Ray J, Kim Kardashian
Kim Kardashian may be having Kanye West's baby, but Ray J feels the need to remind the world, he hit it first.

The R&B singer is set to release a new track called "I Hit It First," refering to his relationship with Kardashian. The former couple are, of course, best known for their infamous sex tape which many believe launched Kardashian's career.

In case the title of the song was too subtle, the cover art for the single also features a blurred-out image of Kim in a bikini, and the lyrics reference the other men in her life. "She might move on to rappers and ballplayers/ But we all know I hit it first," he rhymes. "I had her head going North and her ass going South/ But now baby chose to go West. No matter where she goes or who she knows/ She still belongs in my bed.
 

Facebook and Twitter

Promo Sites