Ads 468x60px

Tuesday, August 26, 2014

CHIDD BENZ feat DIAMOND A.Y_MPAKA KUCHEEE FINAL

"SYLVESTER STALLONE (RAMBO) AFARIKI BAADA YA AJALI MBAYA YA GARI" UVUMI WAENEA KWA HARAKA MIITANDAONI

Muigizaji wa the  "Expendables 3" Sylvester Stallone amekuwa mmoja wa mastaa wa Hollywood ambao wamekuwa ni waathirika wa kuzushiwa kifo. Tetesi zilizosambaa kama moto unaounguza pori/ msitu hasa hasa kupitia mitandao ya kijamii, zilianzia kupitia ukurasa feki wa facebook.

Habari hii ambayo inaonekana kusababisha panic kubwa kwa mashabiki wa muigizaji  "Rambo" imepelekea kutumwa kwa salamu za huzuni kutoka kwa mashabiki wake mbalimbali kupitia mtandao wa twitter.

I just heard about Sylvester Stallone! Another favorite actor if mine, RIP
Ripoti hizo za kifo cha Rambo zinadai kuwa alipata ajali mbaya ya gari iliyosababishwa na dereva wake aliekuwa amelewa na kutokuona gari kubwa lililokuwa likija mbele yake.

Hii sio maara ya kwanza kwa muigizaji huyo kuuliwa na internet, mwanzoni uvumi mkubwa wa kifo chake ulioripotiwa na Global Associate News zilidai kuwa Rambo alifariki kwa ajali iliyotokana na snowboarding.
Sylvesta Stallon (68) yuko hai na mwenye afya njema. Baada ya "Expendable 3" atakuwa aki-shoot instalment ya 5 ya film yake "Rambo".

Ukiachana na Sylvester Stallon, wengine waliowahi kuzushiwa vifo ni pamoja na Justine Timberlake, Miley Cyrus na Charlie Hunnam

Justin Bieber Under Investigation For Attempted Robbery At Dave & Buster's

JUSTIN BIEBER
Ah, Dave & Buster's, where you can eat, drink, play, and get in legal trouble -- if you're Justin Bieber, that is.
According to TMZ, Justin Bieber and Selena Gomez were at a Dave & Buster's, in Hollywood, on Aug. 25. Not surprisingly, a fan started taking pictures and videos of the couple with his phone. That's when Bieber allegedly lunged at the person in an attempt to grab his phone, but Bieber's security got in the way before he could make any physical contact. Police were called, but Bieber left before they arrived.
TMZ reports that the fan wants to press charges, and Bieber is being investigated for attempted battery, attempted theft and attempted robbery. If charged, Bieber would be in violation of his probation order from his previous egg-throwing incident.
Ah, the drama never ends.

Usher And Nicki Minaj Heat Up The Club In ‘She Came To Give It To You’ Video

On Sunday night, Usher and Nicki treated fans to a special live performance of their collab “She Came To Give It To You” at the 2014 VMAs. On Tuesday (August 26), they were at it again, this time with the release of the official video for the single off of Usher’s upcoming album.
As he’s been known to do, Ursh breaks it down in the club for the visuals to his latest, which take place at a dimly lit, packed venue.
Midway through the track, he’s joined by Nicki for her verse, and though there’s no dancing from the Young Money Queen, we do get some classic Nicki faces. Pharrell, who produced the song, is also on hand.
Usher’s new album UR should be out soon.

Saturday, January 18, 2014

DIAMOND PLATNUMZ - HE'S LIVING BIG (NDINGA MPYA + SWIMMING POOL CONSTRUCTION @ HIS NEW HOME)

DIAMOND & HIS NEW RIDE
Diamond Plutnumz he's living like how stars wanatakiwa kuishi, kwanza anajipenda, ana jijali na ana ogopa kushuka kimziki na kimafanikio.
Na ndio maana huyu jamaa anafanikiwa sana kwa upande wote wa muziki na maisha ya kawaida, anapenda kujiwekea ili kesho asi aibike, kila anapopata bahati ya kusafiri nje ya tanzania, anapenda kuitumia fursa vilivyo.
Hapo ni muonekano wa ujenzi wa swimming pool nyumbani kwake Platnumz ambako anapasubiri kwa hamu sana kwani bado ana endelea na ujenzi!
Go getta bro...Kila kheri....wakilisha TZAs abroad wafahamu kuwa na sisi WE CAN!

Wednesday, January 15, 2014

DJCHOKA: HIZI NDIZO SABABU ZANGU KWANINI NIMEPUMZIKA KAZI YA UDJ

Leo naomba niwatangazie wadau wangu na mashabiki wote waliokuwa wakinipenda kipindi nikiwa nawadj wasanii wa hapa nchini na hata wale wasanii waliokuwa wakitoka nje ya bongo. Natangaza rasmi kupumzika kazi hii ya uDJ niliyoanza nayo toka 2005 mpaka leo, sababu za kupumzika nimeona nipumzishe uDJ niendelee na kazi inayoniingizia kipato nazungumzia website yangu hii tokea ikiwa ni blog.

Kazi ya kudj wasanii ni kazi fulani nzuri lakini ni ngumu sana usipokuwa na hobby nayo, nimeifanya kazi hii kwa mapenzi yangu mwenyewe yakupenda mziki na sikuwahi kulalamika mslahi ninayoyapata kwasababu niliifanya kazi hii kwa mapenzi yangu mwenyewe hata napokuwa jukwaani nilikuwa nafurahia sana. Lakini kwa kuwa kazi hii ya kuandika habari na kuonyesha kazi za wasanii wa hapa nchini ndio inayonilipa vizuri basi naona sina budi kupumzisha kimoja ili niendelee na kimoja

Baada ya kupumzisha kazi yakudj kwenye majukwaa na kuwadj wasanii sasa nitakuwa naendelea na kazi yakuvumbua vipaji vya wasanii pia nitaendelee na mix tape zangu kama kawaida. Msanii atakayenihitaji sasa hivi basi ujue itakuwa kazi yakwenda kupiga picha show zake au kurecord show zake TU akiwa jukwaani. Mbali na hapo nitaendelea kupromoti mziki wa nyumbani na wasanii wake mpaka mwisho wangu. Nawakaribisha madj wadogo ambao mlipenda kuwa madj wa wasanii na hamkujua jinsi yakuanzia, nitawashauri na pia nitawafundisha njia za kuwadj wasanii hususani wasanii wa Hip Hop na Bongo Fleva unacheza nao vipi unapokuwa nao jukwaani.
Nawapenda sana wadau wote wa DJCHOKA MUSIC kwasababu bila nyie hakuna mimi
ONE
DJ CHOKA

MCHOMVU, B12 & DIVA ''OUT OF CLOUDS''




WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es
Salaam, Hamisi Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi
‘Diva’, wamepigwa chini na kituo hicho, Risasi Mchanganyiko
linakupa zaidi.
Habari za chini kwa chini kutoka kwa chanzo chetu zinasema kuwa,
uongozi wa Clouds umefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na
tabia ya utovu wa nidhamu kwa watangazaji hao.
Hata hivyo, madai ya mitaani yanasema kwamba, watangazaji hao
wamesimamishwa kwa kosa la kukacha sherehe za maadhimisho
ya Miaka 14 ya Clouds FM, yaliyofanyikia hivi karibuni katika
Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke, Dar.

Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya, Mkurugenzi wa Vipindi na
Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Muhatahaba na kumwuliza
juu ya ishu hiyo ambapo alikiri.
“Ni kweli tumefikia uamuzi wa kuwasimamisha B 12, Diva na
Mchomvu baada ya kukiuka baadhi ya makubaliano baina yao na
ofisi, hivyo kusababisha usumbufu mkubwa ambao ulitulazimu
kuingia gharama ambazo hazikutarajiwa.
“Hatutakuwa nao kwa muda usiojulikana, ingawa watu wengi
wamekuwa wakinihoji juu ya hilo lakini watachotakiwa kuelewa ni
kwamba hakuna ofisi isiyokuwa na sheria na taratibu za kuongoza
watu wake, sasa hao wamevunja taratibu zetu,” alisema Ruge bila
kufafanua zaidi.
Alipoulizwa ni taratibu zipi watangazaji hao walizovunja alisema:
“Nashindwa kueleza kosa la kila mmoja ila naomba nieleweke kuwa
hao watangazaji kwa sasa tumewasimamisha kwa muda usijulikana
wakati tukifikiria cha kufanya. Muhimu hapo ni kwamba
wamekwenda kinyume na tulivyokubaliana.”

Wednesday, January 8, 2014

MEZ B - AJERUIWA USONI KWA KISU NA MTU ASIYEJULIKANA


Msanii Mez B, akakatwa katwa na kisu, na kijana asiefahamika, mida ya saa sita za usiku wa kuamkia jumamosi, maeneo ya Carribean, sinza, alipokuwa akisubiri usafiri, akielekea nyumbani kwake.
akiongea nami asubuhi ya leo Maze B. amesema

"nilikuwa natoka kuonana na Noorah, na baada ya kuonana nae, nilipitia sehem inayoitwa Carrebean iliyoko maeneo ya Sinza kwa ajili ya kupata msosi, baada ya kula nikaona nipate na kinywaji kidogo, wakati naendelea na kinywaji  ndipo alikuja jamaa simjui na kuanza kunitukana, nilimshangaa lakini niliachana nae, baada ya muda nikamuona anaongea na mabaunsa, lakini sikufatilia ni nini walichokuwa wakikiongea, baada ya kumaliza kinywaji changu, nilishuka chini maana sehem hiyo  ni ghorofani, wakati nikiwa chini nikisubiri usafiri, ghafla nikamuona yule baunsa amenifata akiwa na yule kijana na kunipeleka pembeni akidai anataka kujua kwanini yule kijana alikuwa akinitukana, lakini baada ya kufika pembeni, yule jamaa akatoa kisu, na kuniharibu vibaya usoni, huku yule baunsa akiangali."

Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri!

Sunday, January 5, 2014

KUMBE CHANZO CHA DIAMOND NA PENNY KUACHANA SIO WEMA...NI KIGOGO MMOJA WA CCM NDIYE ANAHUSIKA

Hata hivyo habri zaidi zinasema kabla ya Bifu hilo halijatokea Diamondi alikuwa
amesha mpatia kiasi cha fedha Penny kwa ajili kutafuta nyumba akapange ili
waishi tofauti na familia jambo ambalo Diamond aligomea kipindi alipokuwa
akiishi na Wema.
"Kwa hiyo Diamond alipoondoka tu kwenda Zanzibar, Penny naye akahama
nyumbani kwao akawa anaishi kwenye hotel moja Sinza, wakati mwingine
alikuwa akionekana hotelini hapo na wifi yake, kipindi hicho ndipo kigogo wa
CCM naye akajitanua zaidi na kuanza kumuhudumia Penny kama mkewe.
"Licha ya kwamba mama na dada wa Diamond walikuwa wakimkubali sana
Penny na kujaribu kumsihi kutomwacha kijana wao lakini Penny alishakuwa
ameonyesha Dalili zote za kutoishio nyumbani kwa mama Naseeb"
Kipindi Fulani Diamond alijaribu kubembeleza uchumba kwa Penny hadi
akauchimba ukoo wao na kugundua kuwa baba yake Penny na Bibi yake
Diamond wamewahi kuishi kijiji kimoja (huko kigoma) hivyo Diamind akazusha
habari kuwa wao ni Ndugu akiamini itamsaidia kuwafanya wazazi wa Penny
anafaa kumuoa binti yao lakini ugunduzi huo ukageuka kuwa kashfa mpya!"
kilisema chanzo hicho
Imebainika kuwa kuvunjika kwa uchumba baina ya Naseeb Abdull 'Diamond'
na Penieli Mwigila kumechangiwa na kigogo mmoja wa CCM ambaye amekuwa
na mahusiano ya kimapenzi na Penny! Swahilitz inakupa full details
Habari za ndani kutoka vyanzo vyetu zimebainisha kuwa tangu siku nyingi
kigogo huyo wa CCM (jina tunalo) amekuwa akilifaidi penzi la mwanadada
Penny kwakuwa anamkono wa birika (mgumu kwenye fedha) licha ya kwamba
fedha anazo.
Akitoboa siri za ndani, mnyetishaji wetu amesema kwamba mbali ya ubahili wa
Diamond pia ndugu wa upande wa Penny hawakuwa wakipenda binti yao aishi
na Diamond kwa kuwa hana sifa za kuishi naye hali iliyo mrahisishia kigogo
huyo kula vya watu



"Amini kwamba katika kipindi chote cha mahusiano yao, Diamond hajawahi
kusalimiana na mama yake Penny hata siku moja, hata kaka zake Penny
hawataki kabisa kumsikia Diamond na mara kibao wamekuwa wakimsema sana
Penny kuhusu Diamond" kimesema chanzo chetu
Kikaongeza "Hata kuachana kwao ni Penny ndiye aliyemuacha Diamond kwa
sababu ambazo si za msingi sana kwani siku nyingi Penny alishakata tamaa ya
kuishi na Diamond
"Nakumbuka kipindi baba yake Wema alipofarikil, Diamond alitaka kwenda
msibani kuzika lakini alikuwa anashindwa atamuagaje Penny, hivyo akaamua
amsukumizie mzigo Babu Tale ili ampigie simu na kujifanya yeye ndiye
aliyemshinikiza kwenda kuzika"
"Sasa siku Diamond alipoaga kwenda Msibani, Penny 'akamtaiti' na kumuuliza
anakwenda kumzika nani? Diamond akamwambia amuulize Babu Tale lakini
Penny alimgomea na kumwambia wewe ndiye unayekwenda kuzika na wewe
ndiye unayenihusu nitamuuliza vipi Babu Tale?
"Diamond akawa hana cha kujibu zaidi ya kuzuga kisha baadae kuondoka na
kwenda Zanzibar kuzika" kilisema chanzo hicho








 

Facebook and Twitter

Promo Sites