Ads 468x60px

Wednesday, October 31, 2012

Mfahamu Pinda Bwoy from Kino G'z

Pinda bway hez da new Hip-hop n High pitch regge artst started music in 2006 official. Pia nimesha fanya kazi na wasanii wengi tu wana julikana na wasio julikana kwa kuanza ngoma yangu ya kwanza nilifanya dhahabu rec kwa dully kitambo kidogo na msanii anae chipukia pia anaitwa Dan Rock ngoma ya pili ilikuwa inaitwa safari nilifanya na mwanangu mmoja ambae nipo nae kundi moja yeye anaitwa Fuvu Bway na C.E.O wa studio yetu masanjuo recor Mr.Vs pia tupo wote kwenye kundi letu inaloitwa Kino G'z hiyo ngoma ali produce Monangastar. Pia baada ya hapo nilifanya ngoma nyingi tu kali moja alinipa ft Jux pia kuna kollabo inaitwa hii ndo time ya machizi ku shine Chorus yupo Belle9 alafu watu kibao tumepasuka humo mm nipo verse ya tatu ya mwisho akitoka young D ..... 2011 nilifanya mkono na Monagangstar ambao ulikuwa hauna chorus ila ben pol amemaliza hilo tatizo na nyimbo iko tayari ila bado kutolewa kwahiyo watu wakae tayari. Pia kundi letu kama Kino G'z tumefanya mixtape ambayo ina nyimbo kama kumi ila kuna baadhi ya ngoma bado kukamilika but mzigo uko poa sana na tuna amini ukikamilika kutakuwa na gumzo mjini hapa. Mafanikio mengine ni katika mwaka huu nimefanya ngoma na becka title amenishirikisha mm na felly kano ngoma inaitwa Nilisema naimesha achiwa redio bado mipango ya video tu!!!!!! Hadi hapa nilipo fikia nashukuru Mungu sana sababu hizo harakati zote nimefanya bila support za wadau na kama kuna mdau anaweza akajitokeza tukafanya kazi sababu sipo chini ya usimamizi wowote i need ur support!!! 10x its Pinda Bway am out

SHARO - Changanya Changanya

Msanii ambaye chimbuko lake ni tamthilia za kuchekesha "comedy" na kuhamia katika sanaa ya uimbaji! Sharo Millionaire aliyetamba na msemo wa "Ohhhh Mamaaa" sasa awaambia mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani anakuja kuwabamba baada ya kuvuma na ngoma ya Sharo hataki aliyomshirikisha Rich Mavocco iliyofanywa chini ya C9 R3c, sasa anakuja na ngoma kali iitwayo Changanya Changanya aliyoifanya ndani ya same Rec Kili rec (C9)
Msanii huyo anayeimba mziki kwa miondoko ya Africa Magharibi iitwayo "Kapetekalee" alisema "video ya wimbo wangu mpya upo katika maandalizo so kuanzia next week mashabiki wangu wategemee kazi yangu mtaani, pia wategeeemee ujio wa kasi sanaa coz nimeamua kuwa sirius snaaa kwenye game"
Hayo ndiyo maneno ya Sharo, Mashabiki tegemeeni mazuri toka kwake! #Oooooh Mam

MMG - Kenya

Makini Music, founded by Jackson Ngechu(Prezzo) and Ralph Masai(Cannibal) in Early January 2012
The Group was formed with the aim of recognizing,nurturing,
developing and supporting new talent,specifically artists who can not support themselves and those that are having a hard time finding support in the industry, it aims at developing its own record label and has a team ready to cover all that is required to achieve the set objectives.
Big up Prezzo & Cannibal!!!!

GET TO KNOW BAMBO - YOUNG TALENTED UPCOMING DESIGNER

Bambo is an 18 year old upcoming designer.  With 3 shows and 5 collections to prove for it. He hasn't been around in the fashion industry long, but you would be surprised what an interesting story his traits in the halls of fashion build up.  Let me tell the story to you..
              Born on 4th April 1994, it took Bambo up to 2011 for him to finally realize he could make a change in the Tanzania fashion industry. He started by successfully interviewing for an internship job at Naledi Fashion house. This Job gave him an opportunity to work under a well established designer, Miss Kemi Kalikawe.   So as to learn the insides of designing.   He acquired experience in Fashion entrepreneur-ship in the numerous work shops he set up with her;   back stage experience during Swahili Fashion week, The Vintage Cat walk Fashion show2012 and other smaller events; another experience that Bambo finds most vital is work shop duties, cause that's when he inhaled the real sense of Designing.
             Just before Bambo left the labor life for school, he landed a showcase opportunity on Naledi Fashion House's very own show, The vintage Cat walk Fashion show on 3rd March 2012. On this show,  he show cased his 2nd collection ever made, THE BEAUTIFUL BEGINNINGS COLLECTION. This was a collection beautiful high wasted skirts!!!
               There after Bambo worked on an exclusive SUMMER COLLECTION2012. That was special for a few people around him that had bought the pieces even before they were maid!!! This was a full pink and blue Collection of hot pants and Clothes for +size women..
                Afterwards Bambo Landed signed up to showcase on Dar Fashion Festival(DFF)2012. On the night of 19th August our upcoming designer show cased his BLACK BEAUTY COLLECTION. Colored brown and Black,  it was an eye catching hip and urban collection. This is when Bambo started to seriously gain people's attention.
                  Bambo's 3rd show case so far was the Tanza Fashion Gala(TFG) at Mbalamwezi Beach club on the 22nd of September. Where he showcase THE B' KISS COLLECTION. A pink and Black collection for people with boiling bloods.
                    Out of the Run way,   Bambo is taking Human Resource Management at Eckernforde Tanga university.   He is a very friendly,   dedicated, calculative Ngoni.  So rest assured that what you've seen from him is just a platform for bigger and better.
                  Let's with the Best of the best to this very young, vividly talented Fashion designer, Tanzania's Own. #Tuthamini vya nyumbani! Kwa kumuunga mkono na kujali kazi za our only youth from Tz ! Big up Bambo keep the Design classic!!!

DARCITY BANGERZ ndio Hawa Apa


(Kwny pic)From left ni Boy yung(Immo), Santanna, Lil hash and Freezy milly....together they form the Dar City Boyz....they're cooking lots of bangers.....three have been out so far including 1 mixtape...ile rackcity wameichange into Darcity...nayo iko tyt...na kuna nyingine tonite(club banger).....n lastly a song waliomuintroduce them first lady akiwepo tunamix DarcityBoyz na DarcityBabe makin one name ambayo ina form DarcityBangerz......!!! Stay tuned kwa mambo mazuri toka kwa kundi hilo!!

Haammer Q na MUUNGANO

Msanii Hammer Q amewaletea nyimbo yenye radha mpya iitwayo "Muungano", kama asemavyo mwenyewe kuwa nyimbo hiyo alitunga alipofikiria mapenzi kati ya mtu wa Zanzibar na Tanganyila na nilipo ongea nae alikua na haya ya kusema...."Huyo dem ni mtz bara mimi ni mzenji na huyo mimi ni dem wangu ss na muungano unataka kuvunjwa so wakivunja muungano wao wetu ss tuutunze, Na nina mwita aje zenji, Anasema atakuja lkn anaoogopa muamsho, Ila ameniahidi atakuja kesho...Atavuka mapema sn maana wazazi wamekubali na nauli wamempa"
 Hyo ndi Hammer Q na nilipomwambia kuwa wimbo wako una hitaji umakini kuelewa! Alijibu: "Kwa ufupi hiyo....hhahahah Ukiiskiliza kwa makini utaielewa"

VITU MWAKE TOKA KWA DARASA MZEE WA SIKATI TAMAA!!!

Darasa si jina geni sana masikioni mwa mashabiki wa Bongo flavor! Ni msanii ambaye ana tamba na ngoma ya "sikati tamaa"
Darasa ana mengi sana ambayo amewaandalia mashabiki wake mwisho wa mwaka huu, ukiwemo vide ya wimbo wake mpya una itwa "nishike mkono" alioshirikiana na mwanadad Winnie! Wimbo huo umefanywa na producer wakali wawili Gardson na mkali Maneck! Mashabiki kaeni mkao wa kula kwa vide ya wimbo huo!

Pia Darasa ameongelea tasnia mpya ambayo ameamua aifanye kutokana na wimbo wake wa sikati tamaa huku akifata nyayo za Msanii 20%! Darasa yupo katika harakati za mwisho kabisa za umaliziaji wa movie yake mpya inayo itwa "Sikati Tamaa" ambayo itakuwa mtaani mwanzoni mwa mwezi November!
Akiongea alisema movie yake, "Its all about my hustleling kutoka mtaani na miangaiko ya maisha na music kwenye mazingira magumu hasa family kua na hali mbaya maana si tumelelewa na mama tu mi na mdogo wangu." Hayo ndiyo aliyosema!
Walioshirik katika movie hiyo ni wasanii wa bongo movie na Music pia wakiwemo Godzila, Madee, Roma, Adam Mchomv, na  Dj Choka na wengine wengi sana!
 

Facebook and Twitter

Promo Sites