Ads 468x60px

Recommended Post Slide Out For Blogger

Friday, April 5, 2013

DIAMOND PLATNUMZ NA KANGA MOKO WAWEKA HISTORIA BUKOKA (BKB)

Diamond alizungumza haya...Napenda kuchukua Nafasi Hii Kumshukuru mungu kwa
 uzima na afya tele aliyonijalia.....
Mpaka kuwasili salama bukoba tarehe 30 march mwaka huu
.....Pia napenda kuwashukuru mashabiki
wote wa mjini bukoba waliojitokeza kwa wengi katika 
usiku wa wasafi mjini bukoba..
Mashabiki walifurika kufikia kunifanya mimi kuwa na 
furaha na faraja kubwa wakati nipo
stejini....na kuzidi kufanya manjonjo mengi na ujuzi
mwingi nikiwa stejini kama kawaida yangu...

Nilikinukisha vilivyo kama kawaida yangu...Nikiwa
 na Silaha zangu za maangamizi
Jeshi la wasafi kwenye Steji....na Kuweka Historia 
Mpya ndani ya Bukoba kuwa 
mwanamuziki wa kwanza kupiga show mwenyewe na
 kujaza watu zaidi ya 3,000 hadi 
 kufikia Uongozi kusitisha kuuza Ticket kutokana na
 Jeshi la Polisi kutoa 
taharifa ingweza kutokea mahafa kama ilivyotokea
 kabla ya Mimi kupanda
Jukwani.....

Zifuatazo ni Picha za Show Ndani ya Bukoba....!!





Taratibu....Mdogo mdogo kusongesha mzigo...!!











Love ilitawala kwa mashabiki kufikia mimi kuvutwa chini na mashabiki 
ukumbini humo...!! kweli mashabiki wa BUKOBA walikuwa na mizuka...!!






Mikono Juu......wotee wotee....!!
Mizuka ishapanda sasa....Ni kukinukisha mpera mpera 
mwanzo mwisho...!!

Camera Man na mashabiki awakuwa nyuma kupiga picha za 
ukumbusho mahana
historia mpya iliwekwa ndani ya jiji la wahaya.....!!





kwenye show viuno mbele mbele...... aghaaa mule mule...!!



Mambo ya kanga moja laki si pesa.....walikuwemo pia....!!

KITU ndembe ndembe...kanga mpya ailoi maji......
!! kit6u ndembe ndembe....!!

kitu mwake waacha weeee....agha ghaaaaaaaa .......laki si pesa
milioni pocketman...!!

 

Facebook and Twitter

Promo Sites