Ads 468x60px

Recommended Post Slide Out For Blogger

Sunday, October 21, 2012

Kisa Cha Vurugu za Udini Dar

Wakati Tanzania ikiwa ni nchi ambayo inasifika sana wa wana nchi wake kuwa wakarimu na wapole wanao pendana na kushirikiana, na hata kusaidiana katika shida na raha lakini sifa zote hizo zimekuwa ndivyo sivyo pale UDINI ulipo ingilia kati kwani tukio la mtoto mdogo kukojolea kitabu cha dini cha WAISLAM walipokuwa katika ubishani! Tukio hilo lilipelekea Waislam kuleta vurugu kubwa sana uko Mbagala, ugomvi huo usababisha kuvunjwa kwa badhi ya makanisa!
 

Facebook and Twitter

Promo Sites