Ads 468x60px

Recommended Post Slide Out For Blogger

Tuesday, September 11, 2012

MISSY ELLIOT IS BACK!!!!!!


Missy Elliott

Imekuwa kimya kirefu sana toka mkali wa miondoko ya hip hop na Rnb, Missy Elliott alipoachia album yake na single zake za mwisho, 2005.

Hivi karibuni mkali huyo amesikika akisema kuwa ameingia studio na Producer machachali mwenye beats za kumtoa nyoka pangoni, Timberland a.k.a Timbo na kufanya hits mbili kwa jina la "9th Inning" na "Triple Threat"

Single hizi zilizo pair anatarajia kuaziachia mnamo mwezi huu wa September. Tukae mkao wa kula kwa kazi hizi machachali. Dah hakuna kama Mssy kwenye flows na beats za ajabu..

We Miss you Miss Elliott....
 

Facebook and Twitter

Promo Sites