Ads 468x60px

Recommended Post Slide Out For Blogger

Tuesday, September 4, 2012

INTRODUCING ZERO FT. MR BLUE

New talent kwa jina la Zero kutoka Mkoani morogoro. Ni masanii ambaye kwa kweli naweza sema ni wa pili kwa uwezo wa ki-RnB mkoani Morogoro ambaye anakuja kumuweka belle 9 katika wakati mgumu baada ya kuibuka na kufanya ngoma kali inayoitwa SIKUELEWI akimshirikisha Mr. Blue a.k.a Kabaisa.

Ngoma hii aliyofanya kwa kupitia studio za dirty Mode records chini ya Producer Triss, ndani ya week 1 tangu kuachiliwa rasmi (Officially released) tayari imeshaanza kufanya vizuri kupitia vituo mbali mbali vya radio vya Nchini Tanzania. 

Pia ukiachilia mbali Audio tayari msanii huyu ameshafanya bonge la VIDEO kwa Company ya Show Biz Defined chini ya Usimamizi wa director Mike Tee.

Unaweza kui-KUIDOWNLOAD ngoma hii kupitia hapa Chini…Soon Video link itakuwa hewani….
 

Facebook and Twitter

Promo Sites