Ads 468x60px

Labels

Showing posts with label HOT SINGLES. Show all posts
Showing posts with label HOT SINGLES. Show all posts

Saturday, December 21, 2013

#FUNUNU - YOUNG DEE

Ni wimbo mpya wa Young Dee unaofahamika kwa jina la 'Fununu' akiwa
amewashirikisha wasanii wawili ambao ni Mwana FA & Ben Pol




<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=tdouwrkt80lc" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>




Wednesday, October 31, 2012

Mfahamu Pinda Bwoy from Kino G'z

Pinda bway hez da new Hip-hop n High pitch regge artst started music in 2006 official. Pia nimesha fanya kazi na wasanii wengi tu wana julikana na wasio julikana kwa kuanza ngoma yangu ya kwanza nilifanya dhahabu rec kwa dully kitambo kidogo na msanii anae chipukia pia anaitwa Dan Rock ngoma ya pili ilikuwa inaitwa safari nilifanya na mwanangu mmoja ambae nipo nae kundi moja yeye anaitwa Fuvu Bway na C.E.O wa studio yetu masanjuo recor Mr.Vs pia tupo wote kwenye kundi letu inaloitwa Kino G'z hiyo ngoma ali produce Monangastar. Pia baada ya hapo nilifanya ngoma nyingi tu kali moja alinipa ft Jux pia kuna kollabo inaitwa hii ndo time ya machizi ku shine Chorus yupo Belle9 alafu watu kibao tumepasuka humo mm nipo verse ya tatu ya mwisho akitoka young D ..... 2011 nilifanya mkono na Monagangstar ambao ulikuwa hauna chorus ila ben pol amemaliza hilo tatizo na nyimbo iko tayari ila bado kutolewa kwahiyo watu wakae tayari. Pia kundi letu kama Kino G'z tumefanya mixtape ambayo ina nyimbo kama kumi ila kuna baadhi ya ngoma bado kukamilika but mzigo uko poa sana na tuna amini ukikamilika kutakuwa na gumzo mjini hapa. Mafanikio mengine ni katika mwaka huu nimefanya ngoma na becka title amenishirikisha mm na felly kano ngoma inaitwa Nilisema naimesha achiwa redio bado mipango ya video tu!!!!!! Hadi hapa nilipo fikia nashukuru Mungu sana sababu hizo harakati zote nimefanya bila support za wadau na kama kuna mdau anaweza akajitokeza tukafanya kazi sababu sipo chini ya usimamizi wowote i need ur support!!! 10x its Pinda Bway am out

DARCITY BANGERZ ndio Hawa Apa


(Kwny pic)From left ni Boy yung(Immo), Santanna, Lil hash and Freezy milly....together they form the Dar City Boyz....they're cooking lots of bangers.....three have been out so far including 1 mixtape...ile rackcity wameichange into Darcity...nayo iko tyt...na kuna nyingine tonite(club banger).....n lastly a song waliomuintroduce them first lady akiwepo tunamix DarcityBoyz na DarcityBabe makin one name ambayo ina form DarcityBangerz......!!! Stay tuned kwa mambo mazuri toka kwa kundi hilo!!

Tuesday, September 4, 2012

NEW JOINT: BEN POL(PETE)

Ben Pol
New Joint by BEN POL goes by the name of PETE done At Classic Sounds.

NEW JOINT: QUICK ROCKA FT. BELLA

New Joint of Quick Rocka ft. Bella. Beat by Giggs, Vocal, Mixing and Mastering by Macko Chali

NEW JOINT: GOSBY-EVERYDAY

Gosby Has realeased a new Joint. Download and Enjoy

INTRODUCING ZERO FT. MR BLUE

New talent kwa jina la Zero kutoka Mkoani morogoro. Ni masanii ambaye kwa kweli naweza sema ni wa pili kwa uwezo wa ki-RnB mkoani Morogoro ambaye anakuja kumuweka belle 9 katika wakati mgumu baada ya kuibuka na kufanya ngoma kali inayoitwa SIKUELEWI akimshirikisha Mr. Blue a.k.a Kabaisa.
 

Features

Facebook and Twitter

Promo Sites